Jina la Yesu

Mwaka 2001, watu walitoka Habari Maalum (Arusha) kurekodi nyimbo za FPCT Digodigo. Ilikuwa mara ya kwanza ya kusambaza nyimbo mpya za amani za kikristo. Kanda ziliuzwa sokoni, na baada ya muda mfupi, nyimbo hizi ziliimbwa na watu wengi. Mashambani, machungani, na kila mahali watu waliwasikia wengine wanavyoimba. Ilikuwa wakati wa raha Sonjo.

Thumbnail image
Video Player is loading.
Current Time 0:00
Duration 0:00
Loaded: 0%
Stream Type LIVE
Remaining Time 0:00
mp3 (best quality)
 
1x
  • Chapters
  • descriptions off, selected
  • subtitles off, selected

    Your encouragement is valuable to us

    Your stories help make websites like this possible.